Aidha Prof. Mwegoha ametumia nafasi hiyo kueleza namna Chuo Kikuu Mzumbe kinavyojihusisha na shughuli za kilimo kupitia miradi mbalimbali ya utafiti pamoja na ushirikiano wa moja kwa moja na taasisi nyingine za kilimo ndani na nje ya nchi.
Vilevile ameeleza juu ya mpango wa matumizi ya ardhi ya Chuo Kikuu Mzumbe kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo ikiwemo ujenzi wa miundombinu na kilimo chenye tija.
Karibu Chuo Kikuu Mzumbe, “Tujifunze kwa Maendeleo ya Watu”





No comments:
Post a Comment