HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, June 2, 2024

BALOZI NCHIMBI AHUTUBIA WANANCHI NA KUSIKILIZA KERO ZAO BABATI MJINI



Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akihutubia wananchi na kusikiliza kero zao mbalimbali, wakati na baada ya mkutano wa hadhara, uliofanyika katika Uwanja wa Stendi ya (zamani) Babati Mjini, Jumamosi, Juni 1, 2024, ambapo alihitimisha ziara yake ya siku mbili mkoani humo.






No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad