HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, May 26, 2024

SHULE YA SEKONDARI BARBRO JOHANSSON YAZINDUA HARAMBEE YA UJENZI WA JENGO LA TEHAMA

 

Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo (kulia), akizunguma wakati wa mahafali ya 18 ya Kitado cha Sita na uzinduzi wa harambee ya kuchangisha fedha za ujenzi wa jengo la Tehama lenye thamani ya sh bilioni 1.4 la Shule ya Sekondari ya wasichana ya Barbro Johansson. Hafla hiyo ilifanyika  Jijini Dar es Salaam Mei 25.  Kushoto ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Joha Trust, Profesa Anna Tibaijuka na Mwenyekirti wa Bodi wa shule hiyo, Halima Kamote.

Mwenyekiti wa Taasisi ya Joha Trust inayomiliki Shule ya Sekondari ya wasichana ya Barbro Johansson, Profesa Anna Tibaijuka, akizunguma wakati wa mahafali ya 18 ya Kidato cha Sita na uzinduzi wa harambee ya kuchangisha fedha za ujenzi wa jengo la Tehama lenye thamani ya sh bilioni 1.4. Hafla hiyo ilifanyika  Jijini Dar es Salaam Mei 25. Jumla ya Sh milioni miatano ili patikana papo hapo.
Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo (kulia), akizunguma wakati wa mahafali ya 18 ya Kitado cha Sita na uzinduzi wa harambee ya kuchangisha fedha za ujenzi wa jengo la Tehama lenye thamani ya sh bilioni 1.4 la Shule ya Sekondari ya wasichana ya Barbro Johansson. Hafla hiyo ilifanyika  Jijini Dar es Salaam Mei 25.  Kushoto ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Joha Trust, Profesa Anna Tibaijuka na Mwenyekirti wa Bodi wa shule hiyo, Halima Kamote.
Mwenyekiti wa PTA wa Shule ya Barbro Johansson, Dk. Amini Mshana, (katikati), akizunguma wakati wa mahafali ya 18 ya Kitado cha Sita na uzinduzi wa harambee ya kuchangisha fedha za ujenzi wa jengo la Tehama lenye thamani ya sh bilioni 1.4 la Shule ya Sekondari ya wasichana ya Barbro Johansson. Hafla hiyo ilifanyika  Jijini Dar es Salaam Mei 25.  Kushoto ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Joha Trust, Profesa Anna Tibaijuka , Mwenyekirti wa Bodi wa shule hiyo, Halima Kamote na Mkuu wa shule hiyo, Sospina Leonidace(kulia).
Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo (kulia), akionyesha mchoro wa jeno la Tehama la Shule ya Wasichana ya Barbro Johansson wakati wa mahafali ya 18 ya Kitado cha Sita na  harambee ya kuchangisha fedha za ujenzi wa jengo hilo lenye thamani ya sh bilioni 1.4. Hafla hiyo ilifanyika  Jijini Dar es Salaam Mei 25

Wahitimu wa Kidato cha Sita wa Shule ya Wasichana ya Barbro Johansson wakitoa burudani  wakati wa mahafali yao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad