HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, May 11, 2024

RAIS WA ZANZIBAR AZUNGUMZA NA UJUMBE WA KANISA LA ANGLIKANA UKIONGOZWA NA ASKOFU MKUU MHASHAMU JUSTIN WELBY

 



MAASKOFU wa Kanisa la Anglikana wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 11-5-2024, wakiwa Zanzibar kwa ajili ya Ibada ya Maridhiano kutokana na madhila waliyofanyiwa Waafrika wakati wa Biashara ya Utumwa inayotarajiwa kufanyika kesho 12-5-2024 katika Kanisa la Anglikana Mkunazini Jijini Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Askofu Mkuu Mhashamu Justin Welby,mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 11-5-2024, akiwa na Ujumbe wake, wakiwa Zanzibar kwa ajili ya Ibada ya Maridhiano kutokana na madhila waliyofanyiwa Waafrika wakati wa Biashara ya Utumwa inayotarajiwa kufanyika kesho 12-5-2024 katika Kanisa la Anglikana Mkunazini Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad