Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Zuhura Yunus akizungumza na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Mei, 2024 kuhusu Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia uliofanyika Paris Nchini Ufaransa tarehe 14 Mei, 2024 ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alikuwa Kinara na Mwenyekiti Mwenza katika mkutano huo wa Kimataifa.
Friday, May 17, 2024

Home
HABARI
HABARI JAMII
Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Akizungumza Kuhusu Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia
Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Akizungumza Kuhusu Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia
Tags
# HABARI
# HABARI JAMII
HABARI JAMII
Labels:
HABARI,
HABARI JAMII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment