HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 15, 2024

MABALOZI WA AFRIKA KUSHIRIKI MBIO ZA SIKU YA AFRIKA, KUSAIDIA SHULE ZA WENYE MAHITAJI MAALUMU

 

Mabalozi wa Nchi za Afrika kukimbia Mbio za Africa Day zitakazofanyika Mai 18, 2024 jijini Dar es Salaam.

Mbio hizo ni kwaajili ya kusaidia Shule za wanafunzi wenye mahitaji maalumu zilizopo katika jijini Dar es Salaam. Mabalozi hao watatoa msaada katika shule ya Uuru Mchanganyiko, Jeshi la Wkovu, Jangwani na  Pugu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad