HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 21, 2024

DKT. TULIA KATIKA MAJUKUMU YA IPU GENEVA

  

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akiwa ofisini kwake akitekeleza majukumu yake ya kikazi katika Makao Makuu ya IPU Geneva, nchini Uswisi leo Machi 21, 2024.
PICHA NA OFISI YA BUNGE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad