Ujumbe huo ulifika katika Ofisi za Ubalozi kwa ajili ya kujitambulisha na kuwasilisha ombi la kutaka kuanzisha Ushirikiano kati yake na Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) nchini Tanzania. Pamoja na mambo mengine, ushirikiano huo utawezesha upatikanaji wa soko la mahindi nchini Msumbiji.
Imetolewa na Ubalozi wa Tanzania Maputo




No comments:
Post a Comment