HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, February 17, 2024

MWANA-MANYARA MPE MAUA MTOTO ATABASAMU ASOME KIFALME - RC SENDIGA

Kama ambavyo tumekuwa tukishirikiana mara zote katika miradi ya Serikali sisi kama Wanamanyara, Serikali imeshatufanyia kazi kubwa sana, sisi Wanamanyara wenyewe tunafanya nini?

“Mpe Maua, Atabasamu Asome Kifalme”, Ni kampeni ambayo mkoa tumeiandaa kwa lengo na makusudio ya Kuboresha Sekta ya Elimu, kampeni hii itasaidia upatikanaji wa viti na meza na Madawati.

Shahuku yetu kubwa ni kuona watoto wetu wanasoma wakiwa wamekaa kwenye madawati, viti na meza ambavyo vitakuwa vimechangiwa na wewe kwa upendo.

Mhe. Queen Cuthbert Sendiga 
Mkuu wa Mkoa wa Manyara. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad