Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu (kulia) akipokea tsheti ya kukimbia kutoka kwa Meneja Matukio wa Kilimanjaro Premium Lager International Marathon, David Marealle (kushoto) huku Meneja wa Itifaki wa mbio hizo, Nurdin Saggafu akishuhudia. Hafla hiyo ilifanyika katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mjini Moshi.
No comments:
Post a Comment