Mkuu wa wilaya ya Kwimba Mkoani Mwanza Ng' wilabuzu Ludigija amewataka wazazi wenye watoto waliofikisha umri wa kwenda shule kuwapeleka shule kusoma na kuacha kulazimisha kufuga na kulima
DC Ludigija ameyasema hayo wakati akizungumza na wakazi wa kata ya Sumve iliyopo wilayani humo ndipo pamoja na mambo mengine akawataka kuhakikisha jumatatu wanawapeleka shule watoto wao

No comments:
Post a Comment