HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, January 6, 2024

WAZAZI JUMATATU WATOTO WAPELEKWE SHULE-DC LUDIGIJA

 

 


Mkuu wa wilaya ya Kwimba Mkoani Mwanza Ng' wilabuzu Ludigija amewataka wazazi wenye watoto waliofikisha umri wa kwenda shule kuwapeleka shule kusoma na kuacha kulazimisha kufuga na kulimaDC Ludigija ameyasema hayo wakati akizungumza na wakazi wa kata ya Sumve iliyopo wilayani humo ndipo pamoja na mambo mengine akawataka kuhakikisha jumatatu wanawapeleka shule watoto wao

Ameongeza kuwa kuanzia jumatatu atatembelea shule za wilaya hiyo kuangalia mahudhurio ya watoto na watakaobainika kushindwa kuripoti atahakikisha wazazi wao wanachukuliwa hatua za kisheria.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad