Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA Bw. Eliakim Maswi (kati), Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma ya Burundi (ARMP) Bw. Nduwimana Cloude (kulia kwake) na Viongozi waandamizi wa ARMP wakiwa Makao Makuu ya PPRA Dodoma kwa ziara ya kujifunza kuhusu mfumo wa Ununuzi wa umma kielektroniki (NeST) leo Januari 29, 2024.
Monday, January 29, 2024

PPRA KUWAFUNDISHA WABURUNDI MFUMO WA NeST
Tags
# HABARI
# HABARI JAMII
HABARI JAMII
Labels:
HABARI,
HABARI JAMII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment