HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, July 9, 2023

MATUKIO MBALIMBALI NDANI YA BANDA LA NBAA KWENYE MAONESHO YA SABASABA

  

Afisa kutoka Bodi ya NBAA, Salim Kasumari (kulia) akitoa ufafanuzi kwa Hassan Nakuhina kuhusu vituo vya kusomea kwa ajili ya kufanya mitihani ya Bodi alipotembelea Banda na Bodi hiyo kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 47 kwenye Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Es Salaam. Katikati ni Afisa TEHAMA kutoka NBAA, Hassan Kawambwa
Mfanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), Sawa Ngendabanka akitoa elimu  kuhusu namna ya kufanya mitihani ya Bodi pamoja na gharama zake alipotembelea Banda na Bodi hiyo kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 47 kwenye Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Es Salaam. Kulia ni Afisa kutoka Bodi ya NBAA, Eatella Mgaya
Elizaberth Aloyce kisaini kitabu cha Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA)  alipotembelea Banda la Bodi hiyo kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 47 kwenye Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Es Salaam.
Vicky Jengo akisaini kitabu katika Banda la Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 47 kwenye Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Es Salaam.
Afisa kutoka Bodi ya NBAA, Salim Kasumari (kulia) akitoa ufafanuzi kwa Aloysia Maneno kuhusu vituo vya kusomea kwa ajili ya kufanya mitihani ya Bodi alipotembelea Banda na Bodi hiyo kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 47 kwenye Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Es Salaam. Katikati ni Afisa TEHAMA kutoka NBAA, Hassan Kawambwa.
Afisa kutoka Bodi ya NBAA, Eatella Mgaya akitoa elimu kwa umma kwa  Rosemary Semanda kuhusu Bodi hiyo alipotembelea Banda na Bodi hiyo kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 47 kwenye Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Es Salaam. Katikati ni Mfanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), Sawa Ngendabanka
Afisa TEHAMA kutoka NBAA, Hassan Kawambwa (kushoto) akitoa maelezo kwa Richard Manwaly (kulia) kuhusu namna mtu anavyoweza it kupitia tovuti ya Bodi bila yeye kuja kwenye ofisi za Bodi alipotembelea Banda na Bodi hiyo kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 47 kwenye Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Es Salaam.
Afisa TEHAMA kutoka NBAA, Hassan Kawambwa (kushoto) akitoa maelezo kwa wanafunzi kuhusu kazi zinazofanywa na Bodi hiyo walipotembelea Banda na Bodi hiyo kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 47 kwenye Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Es Salaam.
Mfanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), Sawa Ngendabanka Nixon Mwaipaja akitoa maoni yake kama mwanachama wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) alipotembelea Banda la Bodi hiyo kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 47 kwenye Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Es Salaam. Kulia ni Afisa kutoka Bodi ya NBAA, Eatella Mgaya na katikati ni Mfanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), Sawa Ngendabanka
Maonesho yakiendelea
Wafanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) wakiongozwa na Afisa Masoko na Mawasiliano Magreth Kageya wakiwa kwenye picha ya pamoja katika banda la Bodi hiyo katika jengo la Wizara ya Fedha na Mipango.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad