HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 23, 2023

NBAA YAENDELEA KUTOA ELIMU MASHULENI

  

 Makamu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Baobab Alphonse Kamisa  akiwakaribisha wafanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) waliofika shuleni hapo kwa ajili ya kutoa elimu na  kuwahamasisha wanafunzi hao kujiunga na masomo ya Uhasibu watakapomaliza masomo yao.
Afisa Masoko na Mawasiliano wa NBAA, Magreth Kageya akitoa elimu kuhusu kazi zinazofanywa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Baobab iliyopo Mapinga, Bagamoyo mkoani Pwani.
Mwalimu wa Shule ya Sekondari Baobab  Lucas Lubango akizungumza kwa wanafunzi madhumuni ya Wafanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) kufika shuleni hapo.
Mfanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), Sawa Ngendabanka akitoa elimu pamoja na kuwahamasisha wanafunzi kujiunga na masomo ya Uhasibu watakapomaliza masomo ya Sekondari katika Shule ya  Sekondari ya Baobab iliyopo Mapinga, Bagamoyo mkoani Pwani.
Mfanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), Sawa Ngendabanka akisikiliza swali alilokuwa anauliza mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Baobab wakati wa mafunzo yaliyoandaliwa na NBAA.
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Baobab wanaosoma masomo ya Biashara wakifuatilia mafunzo yaliyokuwa yanatolewa na wafanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) waliofika kutoa elimu shuleni hapo Mapinga, Bagamoyo mkoani Pwani.
Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Baobab Stephen Gervas Mahundi  akitoa neno la shukrani kwa wafanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) waliofika shuleni hapo  Mapinga, Bagamoyo mkoani Pwani kutoa elimu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad