HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 30, 2022

NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA NDUGU MNDEME AFUNGUA SEMINA YA SIKU 1 YA FIDIA KWA WAFANYAKAZI DODOMA

 

 Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Ndugu Christina Mndeme akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya fidia kwa wafanyakazi na wadau iliyoandaliwa na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) iliyofanyika leo Novemba 30, 2022 katika ukumbi wa White House jijini Dodoma.


Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Ndugu Christina Mndeme akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) Dkt. John Mduma wakati wa ufunguzi wa semina ya fidia kwa wafanyakazi leo Novemba 30, 2022 katika ukumbi wa White House jijini Dodoma.

Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga (kulia) akichangia mada wakati wa semina ya fidia kwa wafanyakazi iliyofanyika kwenye ukumbi wa White House jijini Dodoma.
 


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad