Mkuu
wa Kitengo cha Digitali na Ubora wa Huduma kwa Wateja, Samuel Mkuyu,
akiskani alama maalumu (QR Code) ili kuweza kutoa pesa kwenye mashine ya
ATM bila kutumia kadi halisi katika hafla ya uzinduzi wa huduma hiyo ya
kwanza nchini jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Meneja Huduma za
Kidigitali wa Absa, Adam Emmanuel.
Mkuu
wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga,
akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo katika
uzinduzi wa huduma ya kutoa fedha katika mashine ya ATM bila ya
kuhitajika kuwa na kadi halisi kwa kutumia mfumo wa (QR Code). Pichani
kutoka kushoto ni, Mkuu wa Kitengo cha Miradi, Irene Mushi, Mkuu wa
Kitengo cha Digitali na Ubora wa Huduma kwa Wateja, Samuel Mkuyu na
Meneja Huduma za Kidigitali, Adam Emmanuel.Mkuu
wa Kitengo cha Digitali na Ubora wa Huduma kwa Wateja, Samuel Mkuyu,
akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo katika
uzinduzi wa huduma ya kutoa fedha katika mashine ya ATM bila ya
kuhitajika kuwa na kadi halisi kwa kutumia mfumo wa (QR Code). Pichani
kutoka kushoto ni, Mkuu wa Kitengo cha Miradi, Irene Mushi, Mkuu wa
Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga na Meneja
Huduma za Kidigitali, Adam Emmanuel
Waandishi
wa habari wakiwa kazini jijini Dar es Salaam leo katika uzinduzi wa
huduma ya kutoa fedha katika mashine ya ATM bila ya kuhitajika kuwa na
kadi halisi mfumo wa (QR Code) ikiwa ni huduma ya kwanza kuingia katika
soko la huduma za kibenki nchini.
Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo katika uzinduzi wa huduma ya kutoa fedha katika mashine ya ATM bila ya kuhitajika kuwa na kadi halisi kwa kutumia mfumo wa (QR Code). Pichani kutoka kushoto ni, Mkuu wa Kitengo cha Miradi, Irene Mushi, Mkuu wa Kitengo cha Digitali na Ubora wa Huduma kwa Wateja, Samuel Mkuyu na Meneja Huduma za Kidigitali, Adam Emmanuel.Mkuu wa Kitengo cha Digitali na Ubora wa Huduma kwa Wateja, Samuel Mkuyu, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo katika uzinduzi wa huduma ya kutoa fedha katika mashine ya ATM bila ya kuhitajika kuwa na kadi halisi kwa kutumia mfumo wa (QR Code). Pichani kutoka kushoto ni, Mkuu wa Kitengo cha Miradi, Irene Mushi, Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Aron Luhanga na Meneja Huduma za Kidigitali, Adam Emmanuel
Waandishi wa habari wakiwa kazini jijini Dar es Salaam leo katika uzinduzi wa huduma ya kutoa fedha katika mashine ya ATM bila ya kuhitajika kuwa na kadi halisi mfumo wa (QR Code) ikiwa ni huduma ya kwanza kuingia katika soko la huduma za kibenki nchini.
No comments:
Post a Comment