Watumishi wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) wakiwa katika picha ya pamoja na wadau wa Vifaa Tiba na vitendanishi tiba.MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) yakutana na wadau wa Vifaa Tiba na vitendanishi tiba leo katika Ofisi Ndogo ya Makoo Mkuu jijini Dar es Salaam lengo ni kuwaajengea uwezo wa matakwa ya kisheria ya kuzibiti ubora na kuwasililiza changambo wanazo kuwanazo waingizaji na wasambazi wa vifaatiba na gesi si tiba Katika kusajili nakuingiza na kusambaza ilikulinda afya ya jamii.
Kaimu Mkurungezi wa Vifaa tiba na Vitendanishi wa (TMDA)Kisa Mwamwitwa (kulia) akiwasilisha mada kuhusu kisheria ya kuzibiti ubora wa vifaatiba na Gesi tiba leo katika Ofisi Ndogo ya Makoo Mkuu jijini Dar es Salaam.
Kaimu Meneja wa Vifaa tib na Vitendajishi akiwasilisha mada kuhusu Vifaatiba na Vitendanishi Katika mkutano wa wadau uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment