Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akislimiana na viongozi wakati alipowasili kwenye viwanja vya Msikiti wa Mfalme wa Morocco Muhammad VI uliopo Kinondoni mkoani Dar es salaam kushiriki katika Swala na Baraza la EiD-ADH’HAA kitaifa , Julai 10, 2022. Kushoto ni Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dkt. Abubakar Zubeir bin Ally.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akislimiana na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dkt.Abubakar Zubeir bin Ally wakati alipowasili kwenye viwanja vya Msikiti wa Mfalme wa Morocco Muhammad VI uliopo Kinondoni mkoani Dar es salaam kushiriki katika Swala na Baraza la EiD-ADH’HAA kitaifa , Julai 10, 2022.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dkt. Abubakar Zubeir bin Ally (kushoto) baada ya kushiriki katika Swala na Baraza la EiD-ADH’HAA kitaifa kwenye Msikiti wa Mfalme wa Morocco Muhammad VI uliopo Kinondoni jijini Dar es salaam, Julai 10, 2022. Katikati ni Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam, Dkt. Alhad Mussa Salum.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika Swala ya Eid- Adh’haa kwenye Msikiti wa Mfalme wa Morocco Muhammad VI uliopo Kinondoni jijini Dar es salaam kushiriki katika Swala na Baraza la EiD-ADH’HAA kitaifa , Julai 10, 2022.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Baraza la EID – ADH’ HAA baada ya kushiriki katika swala iliyofanyika kitaifa kwenye Msikiti wa Mfalme wa Morocco Muhammad VI uliopo Kinondoni jijini Dar es salaam, Julai 10, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment