Uingereza kuitupa karata yake ndani ya Wembley kuchuana na Italia, maumivu ya kupoteza fainali ya Euro 2020 yanaweza kuwapa chachu vijana wa Southgate kupata alama tatu mbele ya Mancini? Pengine huu ukawa ni mchezo wa kulipiza kisasi au, kuendeleza kipigo. Meridianbet tumekuwekea Odds ya 1.86 kwa Uingereza.
Kule Oslo, Norway watawaalika majirani zao, Sweden katika mchezo mwingine wa UEFA Nations League. Erling Haaland anaendelea kuonesha uwezo wake mkubwa wa kupachika magoli akiwa na timu ya Taifa, Sweden wameshapoteza michezo 2 ya awali, watatoboa mchezo wa 3? Ifuate Odds ya 2.11 kwa Norway kupitia Meridianbet.
Ni marudio ya fainali ya Kombe la Dunia 2018, Ufaransa uso kwa uso na Croatia. Mchongo upo hivi, toka walipocheza fainali 2018, viwango vya mataifa yote mawili vimebadilika sana. Huku ni kwenye mashindano ya Ulaya, lolote linaweza kutokea. Dau lako unaliweka kwa nani? Odds ya 1.51 ipo kwa Ufaransa.
No comments:
Post a Comment