HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 29, 2022

MAKAMU WA RAIS MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA SINGAPORE

 

Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 29 Juni 2022 akifanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Singapore Mheshimiwa Dkt. Vivian Balakrishnan, mazungumzo yaliofanyika Lisbon nchini Ureno yaliolenga kuongeza ushirikiano baina ya mataifa hayo mawili hususani katika sekta ya usafirishaji wa majini, biashara pamoja bandari.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad