HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 20, 2022

MATUKIO; WAZIRI MKUU BUNGENI

 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Dkt. Selemani Jafo, bungeni jijini Dodoma Aprili 20, 2022. 


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Bunda, Boniphace Getere, bungeni jijini Dodoma Aprili 20, 2022. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo, bungeni jijini Dodoma Aprili 20, 2022.
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad