Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa mkoa wa Geita alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Geita leo tarehe 22 Februari, 2022.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na wasanii wa vikundi mbalimbali vya ngoma za asili
alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Geita leo tarehe 22 Februari, 2022
Tuesday, February 22, 2022
Rais Samia Suluhu Hassan awasili Mkoani Geita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment