HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, January 11, 2022

UFUNGUZI WA JENGO LA MADARASA MANANE YA SKULI YA NUGWI WAFANYIKA ZANZIBAR

Rais Mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid Karume akikunjuwa Kitambaa kuashiria Ufunguzi wa Jengo la Madarasa Manane Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Jengo la madarasa manane la Skuli ya Sekondari ya Nungwi lililofunguliwa na Rais Mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid Karume Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais Mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid Karume akikata Utepe kuashiria Ufunguzi wa Jengo la Madarasa Manane Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Simai Mohamed Said akisisitiza jambo wakati akitoa hotuba ya kumkaribisha Mgeni Rasmi katika hafla ya  Ufunguzi wa Jengo la Madarasa Manane Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais Mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid Karume akisisitiza jambo wakati akizungumza na Wananchi mbalimbali katika hafla ya Ufunguzi wa Jengo la Madarasa Manane Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.Ikiwa ni Shamra shamra za Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR

 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad