HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, December 3, 2021

Kamati ya siasa (CCM) yakagua miradi inayojengwa kwa mamilioni ya fedha za Uviko

 

Wajumbe wa kamati ya siasa wakikagua maendeleo ya ujenzi wa madarasa manne katika shule ya sekondari ya wasichana ya Manyunyu iliyoko Matembwe shule hiyo imetengewa shilingi milioni 80.Na Amiri Kilagalila,Njombe

KAMATI ya siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Njombe imekagua madarasa 13 kati ya madarasa 28 yanayogalimu shilingi milioni 560 yanayojengwa kwa msaada wa fedha za maendeleo UVIKO,mwenyekiti wa Chama hicho wilaya Mzee Edward Mgaya kwa niaba ya kamati amesema wameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa miradi hiyo.
Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Njombe Bi,Sharifa Nabalang’anya akishiriki katika kazi pamoja na wananchi wa Mtwango wanaoendelea na ujezni wa madarasa ya shule ya sekondari Sovi.
G:Kamati ya siasa ya ikipokea taarifa ya ujenzi wa maadara matatu katika shule ya sekondari Kidegembye yaliyotengewa shilingi milioni 60 ujezni upo kwenye hatua ya upigaji wa Plasta.
Kamati ya siasa ikikagua maendeleo ya ujenzi wa madarasa mawili yanayojengwa kwa fedha za Uviko katika shule ya sekondari J.M Makweta iliyopo kata ya Kichiwa yaliyotengewa milioni 40.Madarasa yapo katika hatua ya upigaji wa Plasta.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad