HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, November 7, 2021

RC MBEYA ASHIRIKI KUKABIDHI TREKTA NDOGO 24I KWA WAKULIMA WILAYANI MBARALI MKOANI MBEYA


Mkuu wa mkoa wa Mbeya akizungumza kwenye hafla ya makabidhiano ya matrekta yaliyotolewa na Agricom Africa ltd Kwa udhamini wa mkopo kupitia CRDB Bank ltd
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera hivi karibuni  akiwa  mgeni rasmi amekabidhi Trekta ndogo (Powertillers) aina ya Kubota 241 zenye thamani ya Tshs. 2.6 Billion, vifaa hivyo vimetolewa na kampuni ya Agricom Africa Kwa udhamini wa mkopo kupitia CRDB Bank kwa wakulima wa Wilaya ya Mbarali mkoani mbeya.

Mtendaji Mkuu wa Agricom Africa ltd Bw. Alex Duffar akizungumza kwenye hafla ya makabidhiano ya matrekta yaliyotolewa na Agricom Africa ltd kupitia udhamini wa mkopo wa CRDB Bank

Mwakilishi wa Meneja wa kanda WA Benki ya CRDB nyanda za juu kusini akizungumza kwenye hafla ya makabidhiano ya matrekta yaliyotolewa na Agricom Africa ltd kupitia udhamini wa mkopo wa CRDB Bank Igurusi mbeya

Mkuu wa mkoa akiwasha mojawapo ya trekta
Picha ya pamoja Kati ya mkuu wa mkoa wa Mbeya na wakulima waliokabidhiwa trekta ndogo aina ya Kubota Powertillers

 


Mkuu wa mkoa wa Mbeya,mwakilishi wa Meneja wa kanda WA Benki ya CRDB na Mtendaji Mkuu wa AGRICOM AFRICA LTD wakiwa na funguo kama ishara ya makabidhiano ya matrekta yaliyotolewa na Agricom Africa ltd kupitia udhamini wa mkopo wa CRDB Bank.
Mtendaji Mkuu wa AGRICOM AFRICA LTD akifurahia picha ya pamoja na wakulima waliokabidhiwa trekta ndogo aina ya Kubota Powertillers kwenye ofisi za Agricom Africa ltd Igurusi
Wakulima waliokabidhiwa trekta ndogo aina ya Kubota Powertillers

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad