Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip
Isdor Mpango akizungumza na Balozi wa Heshima wa Tanzania nchini
Singapore Mhe.Teo Sieng Seng mara alipowasili katika Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Changi Nchini Singapore. Makamu wa Rais yupo
Nchini Singapore kuhudhuria Mkutano wa Jukwaa la Majadiliano ya
Kiuchumi (Bloomberg New Economy Forum 2021 ). Novemba 15,2021.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip
Isdor Mpango akizungumza na Balozi wa Heshima wa Tanzania nchini
Singapore Mhe.Teo Sieng Seng mara alipowasili katika Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Changi Nchini Singapore. Pembeni ni Balozi wa
Tanzania nchini India Baraka Luvanda pamoja na Naibu Waziri wa
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk
Mbarouk. Novemba 15,2021.
No comments:
Post a Comment