Kamera ya Mtaa kwa Mtaa iliinasa taswira hii mwanana kabisa ilipotia timu katika soko la Mabibo maarufu kama mahakama ya ndizi, jijini Dar es salaam. Inaelezwa kuwa katika soko hilo kila kuli (Mbeba Mizigo) anakuwa katika kitengo chake na hakuna kuingiliana katika kazi, na kila mmoja utamtambua kwa kivazi chake kama hicho.
Wednesday, October 20, 2021

Kitengo cha Nyanya
Tags
# HABARI
# MATUKIO MTAANI
MATUKIO MTAANI
Labels:
HABARI,
MATUKIO MTAANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment