EX NIHILO Tunatoa huduma zote za ufundi na za kawaida sehemu za kazi, sehemu za biashara na nyumbani.
Mara kwa mara ukiwa nyumbani, ukiwa na ofisi, kiwanda, apartment, hoteli, lodge, shule, camp, ujenzi wa nyumba au barabara utahitaji msaada wa mafundi au watu wenye ujuzi na uzoefu wa kufanya kazi za aina fulani za kila siku.
Mfano mafundi umeme, Ac, mabomba, ujenzi, swimming pool, generators, kuezeka, computer nk. Pia wafanya usafi, watunza bustani, watoaji taka, ulinzi, wafanyakazi, vibarua nk.
Unaweza ukawatafuta mwenyewe unapowahitaji lakini kuna usumbufu wa uaminifu, kupatikana kwa wakati, gharama kubwa, ubora hafifu, kupata thamani ya pesa yako, uharibifu wa mali, vitu na hata wizi.
Kuepukana na yote haya karibu Ex Nihilo-Intergrated Facility Management Services. Utapata huduma zote hizi kwa wataalam walioajiriwa na wanaosimamiwa na kampuni wakati wote.
Tupigie simu namba 0754 557037/0682 783839 au barua pepe info@exnihilo.co.tz
Mfano mafundi umeme, Ac, mabomba, ujenzi, swimming pool, generators, kuezeka, computer nk. Pia wafanya usafi, watunza bustani, watoaji taka, ulinzi, wafanyakazi, vibarua nk.
Unaweza ukawatafuta mwenyewe unapowahitaji lakini kuna usumbufu wa uaminifu, kupatikana kwa wakati, gharama kubwa, ubora hafifu, kupata thamani ya pesa yako, uharibifu wa mali, vitu na hata wizi.
Kuepukana na yote haya karibu Ex Nihilo-Intergrated Facility Management Services. Utapata huduma zote hizi kwa wataalam walioajiriwa na wanaosimamiwa na kampuni wakati wote.
Tupigie simu namba 0754 557037/0682 783839 au barua pepe info@exnihilo.co.tz
No comments:
Post a Comment