HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 25, 2021

Vodacom yashirikiana na Samsung kuzindua simu mpya ya Samsung A22

 



Ili kuongeza wigo wa matumizi ya simujanja, kampuni ya teknolojia na mawasiliano ya Vodacom Tanzania PLC imeungana na kampuni ya Samsung kuzindua simu mpya aina ya Samsung A22, pichani Mkuu wa Mauzo na Usambazaji waVodacom Tanzania PLC George Lugata (Kushoto) na Meneja wa Samsung Tanzania Suleiman Mohamed wakionesha simu hiyo wakati wa uzinduzi. Ongezea simu hii inakuja na ofa maalum ya dakika za bure, MB na SMS, na inapatikana katika maduka yote ya Vodacom nchini, lakini pia katika maduka ya Samsung.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad