Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
akihutubia Mkutano wa 41 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya
Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ulioanza leo tarehe 17 Agosti katika
ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Bingu uliopo Jijini Lilongwe nchini
Malawi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa
katika Mkutano wa 41 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya
Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ulioanza leo tarehe 17 Agosti katika
ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Bingu uliopo Jijini Lilongwe nchini
Malawi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan wapili kutoka (kulia) mstari wa mbele akiwa amesimama pamoja na Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) mara baada ya ufunguzi wa Mkutano wa 41 SADC ulioanza leo tarehe 17 Agosti katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Bingu uliopo Jijini Lilongwe nchini Malawi. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment