HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 17, 2021

NANI ATAFANIKIWA KUCHEZA LIGI YA UEFA NA EUROPA MSIMU HUU?

 

*Msimu Mpya, Vibe Jipya Viwanjani, Dakika 90 Kuamua Nani Mbabe!


Ni mwendo wa burudani kila pembe ya ulimwengu. Barani Ulaya, mambo yanazidi kutaradadi ukiwa ni msimu mpya wa 2021/22. Baadhi ya timu zimeshafuzu moja kwa moja mashindano ya Ligi ya Mabingwa, baadhi kuingia viwanjani wiki hii kuisaka tiketi hiyo. Mambo yapo hivi;


AS Monaco uso kwa uso dhidi ya Shakhtar Donetsk jumanne hii. Hizi ni timu mbili ambazo zinauzoefu mkubwa linapokuja suala la kucheza mashindano ya Uefa. Kazi kubwa itakuwa ndani ya uwanja, nani ataipata tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa na nani ataikosa kwa msimu huu? Meridianbet tumekuwekea Odds ya 1.65 kwa Monaco.


Kule Ujerumani, kutachezwa mchezo wa DFB Super Cup. Huku moto utawaka pale ambapo Borussia Dortmund watachuana na Bayern Munich. Timu mbili zinazochuana kwa ubora ndani ya Bundesliga, ni dakika 90 pekee kuamua matokeo! Huku Haaland, kule Lewandowski. Ifuate Odds ya 2.15 ndani ya Meridianbet.


Jumatano hii, Benfica atakua nyumbani kuwaalika PSV Eindhoven katika mchezo wa kuisaka tiketi ya Ligi ya Mabingwa. Miamba ya uholanzi vs wababe wa ureno. Ni burudani isiyokifani wiki hii. Meridianbet tumekusogezea Odds ya 2.25 kwa Benfica.


Alhamisi itakuwa ni zamu ya timu zinazowania nafasi ya kucheza Ligi ya Europa. Randers FC vs Galatasary, ni msimu mpya na vibe jipya ndani ya viwanja barani Ulaya. Meridianbet tunakwenda pamoja nawe. Ifuate Odds ya 2.25 kwa Galatasaray wiki hii.


Meridianbet, Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa!

2 comments:

Post Bottom Ad