HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 2, 2021

RAIS SAMIA AWASILI JIJINI DAR ES SALAAM KUAGA MWILI WA MFUGALE

 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi wa Serikali alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Julai 02,2021 kwa ajili ya kushiriki kuaga Mwili wa aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa TANROD Patrick Mfugale. 




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad