Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (kulia) akizungumza na Naibu Spika wa Kwanza wa Bunge la Malawi, Madalitso Kazombo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Juni 8, 2021
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Naibu Spika wa Kwanza wa Bunge la Malawi, Madalitso Kazombo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Juni 8, 2021
Naibu
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (wanne kushoto) katika picha ya
pamoja na ugeni kutoka Malawi wakiongozwa na Naibu Spika wa Kwanza wa
Bunge la Malawi, Madalitso Kazombo (watatu kushoto) walipomtembelea leo
nje ya Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma, Juni 8, 2021
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
No comments:
Post a Comment