
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 
akimuapisha Patricia Salehe Fikirini kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani 
katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es 
Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021. 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 
akimuapisha Penterine Kente kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani katika hafla
 ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo 
tarehe 17 Mei, 2021.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 
akimuapisha Lilian Leonard Mashaka kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani 
katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es 
Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021. 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 
akimuapisha Dkt. Paul Faustine Kihwelo kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani 
katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es 
Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021. 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 
akimuapisha Lucia Gamuya Kairo kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani katika 
hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam 
leo tarehe 17 Mei, 2021.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 
akimuapisha Issa John Maige kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani katika hafla
 ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo 
tarehe 17 Mei, 2021. 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 
akimuapisha Abraham Makofi Mwampashi kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani 
katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es 
Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 
akimuapisha Katarina Tengia Revocati kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika 
hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam 
leo tarehe 17 Mei, 2021. 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 
akimuapisha Biswalo Eutropius Kachele Mganga kuwa Jaji wa Mahakama Kuu 
katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es 
Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021. 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 
akimuapisha Zahra Abdallah Maruma kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika hafla
 ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo 
tarehe 17 Mei, 2021. 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 
akimuapisha Devotha Christopher Kamuzora kuwa Jaji wa Mahakama Kuu 
katika hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es 
Salaam leo tarehe 17 Mei, 2021. 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 
akimuapisha Messe John Chaba kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika hafla ya 
Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe
 17 Mei, 2021.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 
akimuapisha Frank Habibu Mahimbali kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika 
hafla ya Uapisho wa Majaji hao iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam 
leo tarehe 17 Mei, 2021.
 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 
akizungumza na Majaji wa Mahakama ya Rufani, Majaji wa Mahakama Kuu 
pamoja na Viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla ya Uapisho Ikulu 
Jijini Dar es Salaam.
 
Majaji
 wa Mahakama ya Rufani pamoja na Majaji wa Mahakama Kuu wakila Kiapo cha
 Maadili kwa Viongozi wa Umma mara baada ya tukio la Uapisho wao Ikulu 
Jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa
 na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Kassim 
Majaliwa, Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Hamis Juma, Spika wa Bunge Job 
Ndugai, Katibu Mkuu Ikulu Dkt. Moses Kusiluka (wakwanza kulia waliokaa) 
akiwa katika picha ya kumbukumbu na Majaji wa Mahakama ya Rufani mara 
baada ya hafla ya kuwaapisha iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam. 
PICHA NA IKULU



No comments:
Post a Comment