HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 26, 2021

IGP Simon Sirro afanya mazungumzo na maafisa pamoja na askari mkoa wa kipolisi Kinondoni

 

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na maafisa na askari (hawapo Pichani) wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni katika kikao kazi maalum leo tarehe 26/05/2021 ambapo amewaagiza kusimamia sheria za nchi ipasavyo na kuendelea kuwachukulia hatua kali wale wanaojihusisha na vitendo vya kihalifu. Picha na Jeshi la Polisi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad