HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 13, 2021

MZUNGUKO WA PILI WA ROBO FAINALI YA UEFA NA EUROPA KUENDELEA WIKI HII

 

*Bashiri na Meridianbet na Uwe Miongoni Mwa Mabingwa!


HII ni wiki ambayo tutazijua mbivu na mbichi za baadhi ya timu kunako Mashindano ya UEFA na Ligi ya Europa. Dakika 90 zitaamua.


Jumanne hii, Chelsea watawakaribisha FC Porto pale Stamford Bridge. Chelsea anafaida ya magoli 2 aliyopata kwenye mchezo wa kwanza, vipi ataendelea kuwa mbabe au Porto atapindua meza? Meridianbet tumekuwekea Odds ya 1.50 kwa Chelsea.


PSG kuwaalika Bayern Munich katika jiji la Paris. Matokeo ya 3-2 yanawapa matumaini PSG lakini lolote linaweza kutokea kwa mabingwa watetezi – Bayern Munich. Meridianbet tumekusogezea Odds ya 2.30 kwa Bayern Munich.


Jumatano tutatua pale Signal Iduna Park, Borussia Dortmund kuwaalika Manchester City, hapatoshi. Matokeo ya 2-1 pale Etihad ni faida kwa City lakini Dortmund wananafasi ya kupindua matokeo wakiwa kwenye ubora wao. Hii itakuwaje? Unaweza kuifuata Odds ya 1.75 kwa City kupitia Meridianbet.


Liverpool kuwaalika Real Madrid pale Anfield. Licha ya kuwaumiza Aston Villa wikiendi iliyopita, wanakwenda kukutana na Madrid iliyotoka kumfunga Barcelona kwenye El Classico. Faida ya magoli 3, ni motisha kwa Madrid. Meridianbet tumekuwekea Odds ya 2.00 kwa Liverpool.


Alhamisi hii tunasafiri mpaka nchini Italia, AS Roma watawaalika Ajax. Faida ya magoli 2 kwenye mchezo wa kwanza, inawapa nguvu Roma. Ajax watapindua matokeo? Meridianbet tumekupatia Odds ya 2.45 kwa Ajax.


Tutamaliza kwa mchezo wa Slavia Prague vs Arsenal. Timu zote zilitoka sare ya 1-1 pale Emirate Stadium, lakini hali itakuaje Alhamisi hii? Odds ya 1.95 kwa Arsenal inaweza kukutoa kimasomaso baada ya dakika 90 za mchezo huu.


Meridianbet, Nyumba yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa!

1 comment:

Post Bottom Ad