HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, April 30, 2021

Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Dk.Mehment Gulluoglu awaongoza Mabalozi wa Comoro na Pakstani kuzindua msikiti Madale jijini Dar es Salaam.

 

Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Dk,Mehment  Gulluoglu (wa pili kulia) akiwaongoza Mabalozi wa Comoro na Pakstani na viongozi mbalimbali kukata utepe  kuashiria Uzinduzi wa Msikiti wa Rehema  uliopo Madale jijini Dar es Salaam.
Meneja Mwendeshaji wa Tassisi ya Rehema, Zuberi  Salumu akizungumza na waumini wa msikiti huo baada ya ufunguzi Rasmi uliofanyika Madale jijini Dart es Salaam
Waumini wa kiislamu wakiwa ndani ya msikiti wa Rehema wakati wa ibada ya Ijumaa Uliojengwa na Tasisi ya  Rehema  kwa kushirikiana na tasisi ya Hudayi kutoka uturuki
Muonekano wa Jengo la msikiti wa  Rehma uliopo Madale Dar

 

Mwakilishi wa Taasisi ya Rehema akigawa msaada wa Futari kwa watu wenye Mahitaji baada ya uzinduzi wa msikiti huo

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad