

 Waziri
 wa Mifugo na Uvuvi Mhe Mashimba Ndaki akimpatia maelezo Waziri wa Mambo
 ya Nje wa China Mhe. Wang Yi kuhusu samaki wa aina mbalimbali na minofu
 yao wanaopatikana katika Ziwa Victoria wakati mgeni huyo alipotembelea 
Mwalo wa Chato mkoani Geita mapema asubuhi ya leo Ijumaa Januari 8, 
2021.
Waziri
 wa Mifugo na Uvuvi Mhe Mashimba Ndaki na Waziri wa Mambo ya Nje wa 
China Mhe. Wang Yi wakipata maelezo kuhusu minofu ya samaki 
wanaopatikana katika Ziwa Victoria wakati mgeni huyo alipotembelea Mwalo
 wa Chato mkoani Geita mapema asubuhi ya leo Ijumaa Januari 8, 2021
Waziri
 wa Mambo ya Nje wa China Mhe. Wang Yi akiongea na wavuvi na wadau 
wengine wa sekta ya uvuvi alipotembelea na mkujionea shughuli mbalimbali
 zinazofanyika katika Mwalo wa samaki la Chato Mkoani Geita 
alikotembelea leo Ijumaa Januari 8, 2021 ikiwa ni siku ya pili ya ziara 
yake nchini
Waziri
 wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba 
Kabudi akimkaribisha rasmi nchini Waziri wa Mambo ya Nje wa China Mhe. 
Wang Yi na ujumbe wake kabla ya kufanyika mazungumzo rasmi wa pande hizo
 mbili mjini Chato mkoa wa Geita leo Ijumaa Januari 8, 2021 ikiwa ni 
siku ya pili ya ziara yake nchini
 

 
 



 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment