HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 7, 2021

TCRA YATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI NDUGULILE


 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Joannes Karungura akizungumza na Wakuu wa Kampuni za  Mawasiliano juu ya kuboresha huduma  vifurushi vya Bando  ikiwa ni agizo la Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari  Dkt. Faustine Ndugulile ya Mamlaka hiyo kukutana na wadau hao  kujadili namna ya kuboresha  vifurushi vya Bando   Jijini Dar es  Salaam. 


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad