HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 21, 2020

UFUNGUZI WA NYUMBA ZA MRADI WA “ZSSF MBWENI REAL ESTATE

 

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Mfuko wa ZSSF Nd.Sabra Issa Machano   alipowasili katika viwanja vya Mradi wa Nyumba za makaazi za”ZSSF MBWENI REAL ESTATE” zilizojengwa na kampuni ya DEZO CIVIL ANGENEERING CONSTRUCTION ya Dar es Salaam kwa ajili ya kuzifunguya rasmi leo.[Picha na Ikulu] 21/09/2020. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Viongozi mara alipowasili katika viwanja vya Mradi wa Nyumba za makaazi za “ZSSF MBWENI REAL ESTATE” zilizojengwa na kampuni ya DEZO CIVIL ANGENEERING CONSTRUCTION ya Dar es Salaam  ajili ya kuzifunguya rasmi leo.[Picha na Ikulu] 21/09/2020. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akitoa hutuba yake ya Ufunguzi wa Nyumba za Mradi wa “ZSSF MBWENI REAL ESTATE” zilizojengwa na kampuni ya DEZO CIVIL ANGENEERING CONSTRUCTION ya Dar es Salaam alizozifunguliwa leo (kulia) Waziri wa Fedha na Uchumi Mhe.Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa,Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi(kushoto) na  Mwenyekiti wa Bodi ya ZSSF Dkt.Suleiman Rashid Mohamed (wa pili kushoto). [Picha na Ikulu] 21/09/2020.  

Waziri wa Fedha na Uchumi Mhe.Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa alipokuwa akimkaribisha  mgeni rasmi  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein kuzungumza na na wananchi wakati wa hafla ya Ufunguzi wa Nyumba za Mradi wa “ZSSF MBWENI REAL ESTATE” zilizojengwa na kampuni ya DEZO CIVIL ANGENEERING CONSTRUCTION ya Dar es Salaam alizozifunguliwa leo.[Picha na Ikulu] 21/09/2020. 

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Nd.Khamis Mussa Omar alipokuwa akitoa taarifa ya Kitaalam Ujenzi wa Nyumba za Mradi wa “ZSSF MBWENI REAL ESTATE” zilizojengwa na kampuni ya DEZO CIVIL ANGENEERING CONSTRUCTION ya Dar es Salaam kwa mgeni rasmi  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na wananchi wakati wa hafla ya Ufunguzi zilizofunguliwa leo Mbweni Magharibi A Unguja.[Picha na Ikulu] 21/09/2020.  

Baadhi ya Wafanyakazi wa Idara mbali mbali za Mfuko wa ZSSF wakiwa katika hafla ya  Ufunguzi wa Mradi wa  Nyumba za makaazi za”ZSSF MBWENI REAL ESTATE” zilizojengwa na kampuni ya DEZO CIVIL ANGENEERING CONSTRUCTION ya Dar es Salaam zilizofunguliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani).[Picha na Ikulu] 21/09/2020.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya ZSSF Dkt.Suleiman Rashid Mohamed  alipowasili katika viwanja vya Mradi wa Nyumba za makaazi za “ZSSF MBWENI REAL ESTATE” zilizojengwa na kampuni ya DEZO CIVIL ANGENEERING CONSTRUCTION ya Dar es Salaam  ajili ya kuzifunguya rasmi leo.[Picha na Ikulu] 21/09/2020.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad