Katibu
Mkuu Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abbasi amezindua matumizi ya awali
ya kadi za kielektroniki zitakazotumika kuingia katika Uwanja wa
Benjamin Mkapa.
Kadi hizo zitatumika katika matukio mbalimbali ya kimichezo ndani ya Uwanja huo.
Mfumo huo mpya wa kadi ulianza kutumika katika siku ya Simba (Simba Day) na baadae kilele cha Wiki ya mwananchi.
Kadi hizo zitatumika pia kwa matumizi mengine tofauti na kuingua Uwanjani pale mhusika atakapokuwa ameweka salio kwenye kadi hiyo.
Kwa matumizi ya kadi hiyo, kila kadi moja itatumika kununua tiketi moja na itasajiliwa kwa namba ya mtu mmoja tu.
Kadi hizo zitatumika katika matukio mbalimbali ya kimichezo ndani ya Uwanja huo.
Mfumo huo mpya wa kadi ulianza kutumika katika siku ya Simba (Simba Day) na baadae kilele cha Wiki ya mwananchi.
Kadi hizo zitatumika pia kwa matumizi mengine tofauti na kuingua Uwanjani pale mhusika atakapokuwa ameweka salio kwenye kadi hiyo.
Kwa matumizi ya kadi hiyo, kila kadi moja itatumika kununua tiketi moja na itasajiliwa kwa namba ya mtu mmoja tu.
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari, Dkt Hassan Abbas akizungumza na waandishi wa
habari baada ya kuzindua kadi za Kielektroniki zitakazotumika kuingia
Uwanja wa Benjamin Mkapa
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari, Dkt Hassan Abbas akikata utepe kuashiria kuanza
kwa matumizi ya kadi za Kielektroniki zitakazotumika kuingia Uwanja wa
Benjamin Mkapa
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari, Dkt Hassan Abbas akionesha mfano wa kuchanja
kadi baada ya kuzindua mfumo huo wa Kielektroniki utakaotumika na
mashabiki kuingia Uwanja wa Benjamin Mkapa
Katibu
Mkuu Wizara ya Habari, Dkt Hassan Abbas akionesha kadi yake baada ya
kuzindua kadi za Kielektroniki zitakazotumika kuingia Uwanja wa Benjamin
Mkapa
No comments:
Post a Comment