HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 21, 2020

Dkt.Magufuli awaoma kura wananchi wa Urambo mjini mkoani Tabora

 


Sehemu ya Wananchi wa Urambo mjini wakimsikiliza Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano wa Kampeni za CCM zilizofanyika Urambo mjini mkoani Tabora leo tarehe 21 Septemba 2020.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad