MGENI Rasmi katika hafla ya uzinduzi wa Mfumo wa kutoa Maoni kwa njia ya Kidigitali QR, Mhe. Ussi Salum Pondeza (wa pili kulia) akikata utepe ikiwa ni ishara ya ufunguzi wa mfumo huo, katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Tawi la Benki ya CRDB Zanzibar, Kisiwandui Mjini Unguja. Wapili kulia ni Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Pwani, Badru Idd.
MGENI Rasmi katika hafla ya uzinduzi wa Mfumo wa kutoa Maoni kwa njia ya Kidigitali QR, Mhe. Ussi Salum Pondeza (wa pili kulia) akikata utepe ikiwa ni ishara ya ufunguzi wa mfumo huo, katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Tawi la Benki ya CRDB Zanzibar, Kisiwandui Mjini Unguja. Wapili kulia ni Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Pwani, Badru Idd.
No comments:
Post a Comment