HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 14, 2020

WAZIRI MKUU ASALIMIANA NA WANANCHI WA MTAMA AKIWA NJIANI KWENDA RUANGWA

 

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana  na wananchi wa Mtama waliojitokeza kumlaki barabarani wakiongozwa na Mbunge aliyemaliza muda wake, Nape Nnauye, Agosti 13,2020.  Mheshimiwa Majaliwa alikuwa akitoka Dar es salaam kwenda Ruangwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad