Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wananchi wa Mtama
waliojitokeza kumlaki barabarani wakiongozwa na Mbunge aliyemaliza muda
wake, Nape Nnauye, Agosti 13,2020. Mheshimiwa Majaliwa alikuwa akitoka
Dar es salaam kwenda Ruangwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment