HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 12, 2020

WATUMISHI WIZARA YA MALIASILI NA UTALII WAKISHEREHEKEA USHINDI MAONESHO YA NANENANE DODOMA

Mkuu wa Idara ya Mawasiliano Serikalini  Wizara ya Maliasili na Utalii, Bi. Dorina Makaya (wa pili kushoto) na Meneja Msaidizi Kanda ya Kati, Patricia Manonga ( wa tatu kulia), wakiwa na baadhi ya  watumishi wa wizara hiyo, Taasisi na vyuo wakisherehekea ushindi walioupata baada ya kukabidhiwa cheti cha ushindi wa kwanza katika kundi la sekta ya uchumi na uzalishaji wakati wa kilele cha Maonesho ya Nane Nane Kanda ya Kati kwenye viwanja vya Nzuguni, jijini Dodoma.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia maswala ya Walemavu mhe. Stella Ikupa ( wa kwanza kulia) akimkabidi cheti kwa niaba ya Wizara ya Maliasili na Utalii  Mkuu wa Idara ya Mawasiliano Serikalini Bi. Dorina Makaya  (mwenye T-shirt nyeupe) na Bi. Patricia Manonga (wa kwanza kushoto) kwenye halfa ya kilele cha Maonesho ya Nane Nane  jijini Dodoma.
Attachments area
 Mkuu wa Idara ya Mawasiliano Serikalini Bi. Dorina Makaya (kulia) na Mratibu wa Maonesho ya Nane Nane (kushoto) wakiongoza wadau kuingia banda la wanyama kwenye Maonesho ya Nane Nane  jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad