Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza
Balozi wa Marekani hapa nchini Donald John Wright mara baada ya kuwasilisha
Hati za Utambulisho kwake katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es
Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika mazungumzo na Balozi wa Marekani hapa nchini Donald John Wright mara
baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho kwake katika hafla fupi iliyofanyika
Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba
Kabudi katika picha ya pamoja na Balozi wa Marekani hapa nchini Donald John
Wright Ikulu jijini Dar es Salaam.
Balozi
wa Marekani hapa nchini Donald John Wright akiwa amesimama wakati nyimbo za
Mataifa mawili ya Tanzania na Marekani zilipokuwa zikipigwa na Brass Band ya
Polisi katika mapokezi yake Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba
Kabudi katika picha ya pamoja na Balozi wa Marekani hapa nchini Donald John
Wright Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akimsikiliza Balozi wa Viet Nam hapa nchini Nguyen Nam Tien mara baada ya
kuwasilisha Hati za Utambulisho kwake katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba
Kabudi katika picha ya pamoja na Balozi wa Viet Nam hapa nchini Nguyen Nam Tien
mara baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho kwake katika hafla fupi
iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika mazungumzo na Balozi wa Viet Nam hapa nchini Nguyen Nam Tien mara baada
ya kuwasilisha Hati za Utambulisho kwake katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Balozi
wa Viet Nam hapa nchini Nguyen Nam Tien akiwa amesimama wakati nyimbo za
Mataifa Mawili ya Tanzania na Viet Nam zikipigwa na Brass Band ya Polisi katika
mapokezi yake Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment