HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 7, 2020

WAZIRI MKUU AKAGUA UPANUZI WA BANDARI YA MTWARA



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua upanuzi na uboreshaji wa bandari ya Mtwara Julai 7, 2020. , 2020. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa na katikati ni Meneja wa Bandari ya Mtwara, Mhandisi Juma Kijavara.
Eneo la bandari ya Mtwara linalopanuliwa  katika maboresho yanayofanywa na serikali ili kukuza uwezo wa bandari hiyo. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekagua upanuzi huo Julai 7, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad