Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akipokea risiti ya malipo ya shilingi
Laki moja kutoka kwa Mzee Abdalah Saidi Kaliondima, kwa ajili ya
kumchangia, Rais Dkt. John Magufuli katika kampeni za uchaguzi wa mwaka
huu, kwa kutambua mchango mkubwa katika kuiletea Tanzania maendeleo,
Tukio hilo lilifanyika kwenye uwanja wa Ndege wa Nachingwea wakati
Waziri Mkuu alipowasili akiwa jiani kwenda Ruangwa, Julai 13, 2020.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akiwashukuru wazee wa wilaya na
Nachingwea baada ya kupokea risiti ya malipo ya shilingi Laki moja
walizozitoa kwa ajili ya kumchangia, Rais Dkt. John Magufuli katika
kampeni za uchaguzi wa mwaka huu, kwa kutambua mchango mkubwa katika
kuiletea Tanzania maendeleo. Tukio hilo lilifanyika kwenye uwanja wa
Ndege wa Nachingwea wakati Waziri Mkuu alipowasili akiwa jiani kwenda
Ruangwa, Julai 13, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri
Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akimsikiliza Mzee Hamis Kambona (wapili
kutoka kushoto) wakati akipokea mchango wa Shilingi laki moja kutoka
kwa wazee wa wilaya na Nachingwea kwa ajili ya kumchangia, Rais Dkt.
John Magufuli katika kampeni za uchaguzi wa mwaka huu, kwa kutambua
mchango mkubwa katika kuiletea Tanzania maendeleo. Tukio hilo
lilifanyika kwenye uwanja wa Ndege wa Nachingwea wakati Waziri Mkuu
alipowasili akiwa jiani kwenda Ruangwa, Julai 13, 2020. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment