Na Al-Hassan Muhidin
Mkemia Herman Kweka amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge katika wilaya ya Kigamboni akiwa ni miongoni mwa makada wachache wanaotajwa kuleta ushindani katika kinyang'anyiro cha kura za maoni ndani ya Chama hicho.
Rais wa Chama cha Mpira wa Kikapu (TBF) Phares Magesa akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge la Jimbo la Mbagala.
No comments:
Post a Comment