HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 22, 2020

Ushindi ukiwa na Meridianbet kwa Tiketi yako!

Meridianbet wameanzisha Promosheni ya TIKETI YA KWANZA JUU YETU ambayo tiketi yako ya kwanza daima haiwezi kupoteza, kwa sababu kama haijashinda –Watakurudishia hadi Tsh 12,500 ya pesa uliyolipia tiketi yako katika akaunti ya bonasi ya kubetia. 

Kwa kweli, timu ya Meridianbet imefanya ofa hii kuwa rahisi sana ili daima isiwe vigumu sana kupata USHINDI wako wa kwanza.

Ofa hii haina hasara kabisa, ni kwa wateja wote wapya WANAOJISAJILI na kufungua akaunti ya kubashiri na Meridianbet.co.tz. Ili kudai ofa hii, weka beti yako ya kwanza kwa kiasi cha kati ya TSh 1,000 na 12,500 TSh kwenye mchezo wowote.

Kama tiketi yako haitaweza kushinda, utakuwa na uwezo wa kuwasiliana timu na ile pesa uliyolipia tiketi yako itawekwa kwenye akaunti yako ya bonasi siku inayofuata. 

Unaona? Ukiwa na Meridianbet, ni USHINDI USHINDI kwa kila mtu! Jisajili leo na kudai tiketi yako ya ushindi.

30 comments:

  1. Inapendeza kwakweli kuwavutia wateja wenu.

    ReplyDelete
  2. Kweli ushindi Upo na meridianbettz

    ReplyDelete

Post Bottom Ad